Wednesday 24 September 2014

JINSI YA KUPAKA MAKE UP USONI.

Tunapenda sana urembo hasa wa uso lakini kuna mambo muhimu ya kuzingatia ili kupendezesha uso wako na kuonekana unavutia zaidi popote utakapotokelezea na watu wakasema waoohh you look gorgeous.
Sasa leo nimekuja na TIPS chanche za kukufanya wewe uonekane mrembo zaidi kila wakati .


1. USO -
osha uso wako kwa maji ya uvuguvugu na sabuni. kausha vzuri na kitaulo laini.
kama unatumia cleanser yoyote ni vizuri zaidi kuondoa uchafu kwenye uso wako kwa kutumia pamba na baada ya hapo osha tena uso wako kwa maji tuu ya uvuguvugu na ujikaushe.

2. FOUNDATION
Chagua faoundation inayoendana na rangi ya ngozi yako,

foundation ndo ya kwanza kupaka usoni kwako ili kuziba vidoa doa vilivyo kwenye ngozi ya uso wako ,paka kwa kutumia brush maalum ukianzia katikati kwenda chini na juu.epuka kuanzia kwenye pji la uso yani nywele zinapoanzia kwani itasbabisha mlundikano.

3. POWDER
Paka powder inayoendana na ngozi yako juu ya foundation,hakikisha unasambaza uso wako wote pamoja na sehemu za shingo ili rangi iwe sawa na uso. kwa kutumia spounge au brush inayohusika.

NB: ZINGATIA SANA RANGI YA PODA PAMOJA NA RANGI YA NGOZI YAKO ,KWANI UNAWEZA UKAWA MNG'AVU THEN UKAPAKA PODA AMBAYO ITAKUFIFIZA

KITHURAAH COLLECTIONS KIJIWE CHA UREMBO
UTAJIPATIA PODA MBALIMBALI 
MAC,SLEEK,IMAN,MARY KAY NICHEK KUPITIA NO 0716 666640
KARIBUNI NYOTE.

No comments:

Post a Comment