Monday 1 April 2013

JUMLA YA MAITI 34 ZAPATIKA KATIKA AJALI YA KUANGUKA KWA JENGO

Kama tulivyopata habari mnamo tar 29/03/2013 jengo ambalo lilikua bado kwenye ujenzi kuanguka na kusababisha maafa ya watanzania wenzetu na wengine kujeruhiwa vibaya,uokoaji wa miili iliyobakia chini umemalizika leo na kutimia idadi ya watu 34 na vichwa viwili ambavyoo viwiliwili vyake havija patikana na kuleta jumla ya maiti 36.

Ni msiba mzito na tunawapa pole ndugu jaama na marafiki walofikwa na janga hili .

Pamoja na hilo leo mjini Arusha limetokea janga linalofanana na hilo katika machimbo ya kokoto baada ya kufukiwa na udongo wakati wakiwepo machimboni ,idadi kamili sijaijua tutapeana taarifa.

RIP wote walofikiwa na ajali hizi mungu ibariki Tanzania..



Kithuraah

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

No comments:

Post a Comment