Monday 19 January 2015

AMBER ROSE AENDELEA KUBREAK THE INTERNET MITANDAONI.





Mwanamitindo maarufu nchini Marekani aendelea kubreak the internet kwa kutupia picha zake akiwa na vivazi matata sana..
Amber Rose mwenye umri wa miaka 31 na ni mama wa mtoto mmoja ambaye alizaa na aliyekua mume wake Wiz Khalifa..

Haya wale wabongo wa kubreak the internet mupo...
Ya walimwengu...

No comments:

Post a Comment