Wednesday 29 May 2013

M TO TheP HAJAFARIKI YUPO HOSPITAL KWA MATIBABU.

Msaani ambaye ni rafiki wa Ngwear Mto the P ilisemekana naye amefariki lakini hizo habari si kweli ,yeye bado yupo hai lakini hali yake sio nzuri na bado hajajitambua, alisikika akisema millard ayo ambaye yupo South Africa kwa sasa, pamoja na waTZ wengine huko walikwenda hospital ambayo amelazwa na kufanikiwa kumuona akiwa bado chini ya uangalizi wa daktari, Pia Milard aliendelea kusema mwili wa marehemu Ngwair umehamishiwa kutoka kwa st Helen Joseph hosp alipokutwa na umauti na kupelekwa kwenye montuary ya hospitali ya serikali ya SA ukisubiri taratibu za usafirishwaji kuja nyumbani Tanzania kwa ajili ya maziko ..



Familia imekubaliana msiba utakua Mbezi kwa kaka yake ,taratibu za msiba zitajulikana hapo mwili utakapowasili hapa nyumbani.

RIP Albert Mangwear..



Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

R.I.P ALBERT MANGWEAR


Bwana ndo ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe ,alikua rafiki mzuri ,kaka mzuri, tulimpenda lakini Mmungu amempenda zaidi ..
Tutakukumbuka milele kwa nyimbo nzuri na mistari mizuri ulityotuachia..

MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALA PEPMA PEPONI ..

AAMIN


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

Monday 27 May 2013

FEZA KESSY NA AMMY NANDO WAWAKILISHI WA TZ NDANI YA BIGBROTHER HOUSE 2013

hatimaye Tanzania inawakilishwa vyema ndani ya mjengo huko kwa madiba SA na vijana wawili ambao ni FEZA na AMMY ,watanzania wote ambao tunafatilia vyema mchezo huu hatuna budi kuwapa support wenzetu hawa kwa kuwapa kura za kutosha na hatimae kuibuka washindi katika mchezo huu.
 
FEZA KESSY
aliwahi kua  Miss Dar City Centre na pia ni mwanamuziki akiwa chini ya kampuni ya Unity Entertainment inayomilikiwa na AY na tayari ameshaachia single yake ya "Amani ya Moyo"
 
 
AMMY NANDO
ni kijana mweneye umri wa miaka 22 ambaye alikua akiishi Los Angeles, Marekani pia ni Model anayefanya kazi chini ya agency inayoitwa ModelMayhem.
 
Tunawatakia kila la kheri ndani ya mjengo..
 

Saturday 18 May 2013

SOMA SABABU ZA TID KUTOHUDHURIA SHOW YA JAYDEE

 

 
TID aainisha sababu zake zitakazomfanya kutohudhuria sherehe ya mwanadada nguli wa bongofleva JayDee itakayofanyika Nyumbani Lounge mwisho wa mwezi huu.
kupitia mtandao wa Facebook TID ameandika hivi: 


 

Friday 17 May 2013

MISS WORLD TANZANIA LISSA JENSEN NI MAMA MTARAJIWA

Lissa jensen miss world tanzania anaujauzito wa miezi 6 na zaidi inamana soon anatarajia kuitwa mama,
akizungumza na sudi brown ktk part ya Uheard ktk kipindi cha XXL-Clouds Fm,lisa alikiri kwamba ni kweli anaujauzito na alimtaja baba wa kijacho kwa jina moja la abeid lkn alikiri kwamba anaogopa swala zima la ndoa na kuhusu cheatings ktk ndoa.



 
kithuraah wa kaumo

Friday 10 May 2013

MISHONO YETU

ki kwetu kwetu zaidi tuthamini vya kwetu vya kiafrica




kithuraah wa kaumo

Thursday 9 May 2013

TIPS FOR CHEATERS

Haya tena Cheaters ,Zingatieni hayaa


Everyone is bound to cheat on their spouse one time or another. Chance comes to all. Opportunities abound for all to seize. Admittedly, cheating is sweet (stolen bread is sweet). While some will try to remain faithful, a lot more will cheat as the physical attraction wanes. Long term relationships get boring with time. The one-time sweetie will turn sour and will be a big turn off. They just lose that magic that would makes the sparks fly and the heart race like a formula one car.

Cheating brings back that energetic spark in ones life. Cheating is inevitable. To cheat is human not to be caught is divine. Here are a few rules to help you as you cheat.

0. Never ignore your spouse's call when you are out with your lover, much more, never switch it off or cut the line when she calls you.

1. Always let your lover know about your marital status. If you hide your status, your lover might surprise you at a very awkward time.

2. Never promise marriage to your lovers. You can only do so when your spouse passes on.

3. Avoid falling in love with your lovers (this is hard). If you notice that you are falling in love get another lover. If you do fall in love with your lover your spouse will know very fast because it will to show.

4. Be sweet to your spouse when you are cheating. If your spouses demands something, give it to them without being irritated even if it means getting them the moon. Check Nakumatt or Duty Free Shop at UNON or Village Market as they may just be having a promotion for those who want to get the moon for their spouses .

5. Avoid keeping contact details of your lovers anywhere near home.
Phone numbers in diaries or email addresses on receipts is a no no. If you have business cards use these instead and keep them at the office.

6. Never switch off your phone or be protective of it when at home. If a call or an sms comes let your spouse answer the phone for you. You have to tell your lovers not to call you when you are at home. Try to use the company phone for those important calls.

7. Never raise your spouses suspicion. If you say you are going to see a friend that the spouse knows make sure you see the friend first and then proceed to see your lover then return to your friends house, if it is the bar return to the bar. If you lie about being in a certain place and you are not there when a follow up is made then you are screwed.

8. Never let your spouse know all your sources of income. Always maintain a secret account, A sort of CIA operations Account. You need it to finance you covert operations.

9. If you are going to be in a public place always go with a wingman (or
merchie) who is not married.

10. The only time you ever admit cheating is when you are caught red handed. All other allegations "kufwa na no", whether you have cum on your slacks, lipstick on the collar or a used cartridge in the jacket or in the car.

11. Always destroy incriminating evidence before going home. This might include erasing (some) call records, going to the gym to sweat off the sweet perfume. If you drink always rinse off you privates with a beer (preferably the smelliest drink you can find) if you going home drunk.
You might just black out in the matrimonial bed smelling of cheap Condoms from Nakumatt (its unmistakable) . Remember to always have perfume or deodorant in your car or office make sure it is the same fragrance as the one you regularly use.

12. Whatever you do never neglect your spouse. if you need to buy your lover a RAV4 make sure you get your wife a better SUV such as Honda or anything better than what you get your lover.

13. Never slacken your game in bed (remember a good Whiskey such as Gleinfidic Single Malt,JD or Gold Label helps). Even if you are from having a sex festival with your lover, always do a repeat performance at home. You might need to act a little to pull it off though.

Good luck and, you didn't hear it from me.......... ........ and please, don't print this email 

kithuraah wa kaumo

Wednesday 8 May 2013

SIR ALEX FERGUSON ATANGAZA KUSTAAFU



Kocha wa manchester United Sir Alex Ferguson atangaza kustaafu kiti hiko baada ya kuifundisha timu hiyo kwa muda wa miaka 26 tangu mwaka 1986.
Katika kipindi cha ucoach wake amebeba mataji 38 ya ushindi ,pambano la mwisho katika usimamizi wake  dhidi ya West Brom likiwa pambano la 1500 katika ufundishaji wake .
 
Miongoni mwa Vikombe alivochukua ni hivi

Premier League: 1993, 1994, 1996, 1997, 1999, 2000, 2001, 2003, 2007, 2008, 2009, 2011, 2013.
FA Cup: 1990, 1994, 1996, 1999, 2004
League Cup: 1992, 2006, 2009, 2010
Champions League: 1999, 2008
Cup Winners Cup: 1991
Fifa Club World Cup: 2008
Uefa Super Cup: 1992
Inter-Continental Cup: 1999
FA Charity/Community Shield: 1990 (shared), 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011

 Je nani atakuja kukishika kiti chake?
mashabiki wa Manchester united bado hawajafumbua hili fumbo .

Wednesday 1 May 2013

WOSIA WA DADA JAYDEE KWA RUGE NA JOSEPH KUSAGA

WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA


Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesi
Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa.

Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo mkubwa kifedha , ki umri na hata wenye ukubwa wa connection katika hii industry ya muziki. Wanaomiliki chombo cha habari.

Nasimama na kusema kuwa sitokata tamaa, kwani lengo lao kubwa ni kuona na kuhakikisha nimeanguka kabisa na sipo katika ramani ya muziki.

Watu hao ambao vita yao ilikuwa baridi miaka kumi iliopita, sasa inazidi kuwa moto baada ya kutambua kuwa mimi ni mtu mwenye maamuzi yangu na misimamo yangu bila kuburuzwa.
Wanapita kila mahali kuhakikisha kila mrija unaoniingizia chochote unakatika, na hiyo ni kutaka kuuthibitishia umma wa Tanzania kuwa hakuna msanii anaeweza ku survive bila wao.

Mimi ni msanii tofauti na hao mnaofikiria.
Nadhani mnafahamu tangu niachane na Tuzo zenu mnazo influence nani apate nani asipate, na tangu niachane na Fiesta nilipolipwa laki 8 mara ya mwisho na kuamua kuunda Band ili nijiajiri na kupata shows zangu mwenyewe, ikafanikiwa sana jambo ambalo limewauma na kuamua kufanya kitu cha kuiangusha Band yangu.

Nita survive kwa njia zozote MUNGU alizonipangia.
Wakati bado wote tunapumua na kwakuwa watu hao hawanipendi kabisa, Naamini fika hawataweza kunipenda hata siku nitakapokuwa nimekufa.

Na huu ndio wosia wangu kwa watu hao.
Natambua wanaweza kutumia redio yao kutangaza sana kifo changu na kusema marehemu alikuwa mtu mzuri na pengine kupiga nyimbo zangu kuanzia asubuhi mpaka jioni.

Ila naomba nitamke hivi, siku nikifa CLOUDS FM isipige nyimbo zangu, wala isiongelee lolote kuhusiana na kifo changu.

Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga wasihudhurie msiba wangu, na mkiwaona muwapige wame
Enyi mtakaokuwa hai baada yangu.

Kama wamenifitini, na hawajanipenda nikiwa hai
Hakuna haja ya kujifanya kunipenda nikiwa marehemu.
Sina haja wanipende pia kwakuwa mimi sio ndugu yao, Ila ubaya wanaoundeleza mioyoni mwao wanaujua na nina hakika nafsi zao zinawasuta pia.

Niliamua kujiepusha nao miaka mingi na kufanya biashara zangu, nimekaa kimya watu wanafikiri nabebwa lakini sijabebwa chochote sikutaka ugomvi haya mambo yalianza baada ya Album yangu ya pili ya Binti mwaka 2003 nilipojitoa Smooth Vibes chini ya Ruge.
Nilivumilia fitna nikiamini ipo siku yatakwisha lakini naona moto ndio unazidi kuwaka.

Na hii ni kwasababu wanaogopa msanii akiwa mkubwa watashindwa kumuamrisha, Hamuwezi kumiliki dunia..
Kama mnasema mlinibeba mbona hamkuwabeba dada zenu wa tumbo moja waimbe ili hela irudi nyumbani??. kama kweli wewe Kusaga unajua kubeba basi beba jiwe liimbe liwe star..

Kwa roho zenu mbaya mnaweza kumbeba mpita njia nyie??.
Talent haibebwi, hujibeba kama mnabisha si mna watoto wabebeni basi wawe kama kina Diamond ndio nitaamini kweli nyie mnaweza kubeba watu.

Mnawatishia wasanii kuwa yoyote atakaefanya nyimbo na mimi hazitapigwa, vikao vinne mmeshakaa kunijadili.
Mnadhani je! nitapungukiwa nini endapo wasanii wengine wakiacha kufanya kazi na mimi?? nyimbo hazitakuwa nzuri.
Basi sawa ngoja tuone MUNGU ni nani, Binadamu nani??
Kwahiyo mtaamrisha watu pia wasikae na mimi??

Ilikuwa niseme majina matatu huyo mmoja nimemsamehe baada ya kugundua sio hiyari yake ila yuko under influence ya hawa jamaa wawili.

Kila siku mnamsingizia Ruge peke yake Kusaga ni mfitini kuliko hata huyo Ruge, watu hamjui tu.
Mtu hela zote hizo bado shillingi mbili ya Jide inakuuma??
Roho gani hiyo??

Naishia hapo na sitabatilisha kauli yangu

JIDE

Chanzo cha habari :ladyjaydee.blogspot.com