Monday 7 July 2014

DIAMOND AMSUPRIZE MAMA YAKE GARI YA MIL 38

katika hali ambayo hamna aliyewahi kufkiria mwanamuziki wa kimataifa wa Bongo Fleva Diamond Platinumz amshangaza mama yake katika siku yake ya kuzaliwa ambapo mama huyo ametimiza miaka 55 kwa kumzawadi gari aina ya Toyota Lexus new model yenye thamani ya Milion 38.1 za kitanzania.
mwanamziki huyo mbaye bado yupo nje ya nchi kikazi athibitisha kukabidhi zawadi hiyo kupitia meneja wake Babu Tale na kuikabidhi rasmi hiyo tar 07.07.2014.

MUONEKANO WA GARI KWA NYUMA

MUONEKANO WA GARI KWA MBELE
 
WEMA SEPETU AKIWA NA MKWEWE MAMA NASEEB ABDUL ''DIAMOND''

No comments:

Post a Comment