Thursday 17 July 2014

MISHONO YETU


Wasichana kwa wamama sasa tumekua tukipendelea zaidi kushona kushinda kununua nguo za dukani.ni vizuri zaidi kwani tumeweza kudumisha vya kwetu zaidi na kua kiafrika zaidi na kuacha umagharibi.
kwa msaada kuhusu mishono na ufundi wasiliana na mimi kwa no : 0716 666640 mda wowote napatikana.




kithuraah wa kaumo

No comments:

Post a Comment