Monday 9 April 2012

HAYATI KANUMBA KUAGWA NA KUZIKWA KESHO.

Habari wapenzi .
Tukiwa bado ktk majonzi ya mpendwa wetu Hayati Steven Kanumba..
Jumanne tar 10/04/2012 ndio cku ambayo tutamzika mpendwa wetu ktk makaburi ya kinondon na pia tutamuaga maeneo ya viwanja vya leaders kuanzia sa 4 asubuhi ..

RIP the Great Steven Kanumba

No comments:

Post a Comment