Thursday 5 January 2012

Lady B still run the wolrd .....



Lady B still Rock ,she is still a Diva ,pamoja na kwamba tumbo limeshakuwa lakini bado anapigilia mapigo yake ya kidiva diva ,nampenda sana huyu dada jamani hana maskendo ya ajabu ajabu km wengine ,
km unavoona picha hapo juu ndo hali aliyonayo sasa lakini bado yuko mwaaaaaah ,n fashion mwanzo mwisho high heels ndo hivo yani hadi mmewe ameamua kumuekea ulinzi wa kutosha ,,i wish na mm nipate mume mwenye mapenz km Jay Zee..
solange is verry proud for her sis and she says "my sister is the cute is the custest pregnant women ever "
 nimeipenda hii ..

oll the best ladyB

No comments:

Post a Comment