 |
| LIKE ABRAHAM ,mshindi wa cheza imba km rihhana |
 |
| akikabidhiwa hundi ya Mil10 na mwandaaji wa shindano |
 |
| top three ya imba na cheza km rihhana |
|
|
haya yule mshindi ndo huyooooo hapo tena wadau wangu mil 10 ziko mikononi mwake ss ,,furaha yake jamani ...
happy easter wadauzzz
Aminia anaweza kwakwel.....
ReplyDelete