Thursday 13 June 2013

MSANII WA BONGO FLEVA LANGA AFARIKI DUNIA

Habari zilizonifikia sasa hivi punde kutoka kwa

ndugu wa karibu wa Langa zinasema ndugu yao

Langa amefariki katika hosp kuu ya Muhimbili

kwa kuumwa Malaria. Habari kamili zitawajia kwa

jinsi nitakavyokuwa napewa updates.

MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA

PEPONI.





source:DJ Choka





Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

No comments:

Post a Comment