Monday 3 June 2013

BALOZI WA TANZANIA AFRICA KUSINI AFIKA MSIBANI KUTOA RAMBIRAMBI ZAKE

Blozi wa Tanzania S.A akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa baba mdogo wa mangwea mbezi beach jana

akiwa na mama ake mdogo marehemu Albert Mangwea Mbezi Dar es Salaam 

Mwenyekiti wa Kamati ya msiba akisalimiana na Balozi.
 Chanzo :Global Publishers

No comments:

Post a Comment