Thursday 6 June 2013

MUME WA MALKIA WA TAARABU BI KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA

Mume wa Malkia wa Mipasho Afrika

Mashariki, Khadija Omar Kopa, aitwaye

Jaffari Ally amefariki dunia usiku wa

kuamkia leo. Marehemu alikuwa

anasumbuliwa na matatizo katika

mfumo wa upumuaji na mpaka mauti

yanamfika alikuwa amelazwa katika

hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali

pema peponi.

AMEN





Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

No comments:

Post a Comment