Thursday 6 June 2013

MTANZANIA AKAMATWA NA MADAWA NCHINI MISRI

Mtanzania FATMA a.k.a BROWN BERRY  mkazi wa ilala Dar es Salaam.
amekamatwa nchini misri akijaribu kusafirisha madawa ya kulevya kwa kutumia begi alimoweka nguo zake.
hii ni video ya jinsi maafisa wa misri walivyomkamata.
Bado haijathibitishwa kama ni kweli amehukumiwa kunyongwa tutaendelea kupeana updates kupitia hapa.
Hizi ni baadhi ya picture za mwanadada huyo .


fatma akiwa na mwanaye
 
fatma akiwa katika pozi
 
fatma akiwa na mpenzi wake
 
fatma akionekana siku aliyokamatwa na madawa yuko chini ya ulinzi
NB: WATANZANIA WENZANGU ,DADA ZANGU NA KAKA ZANGU MAISHA SIO RAHISI KIASI CHA KUJISACRIFICE ,TUJIFUNZE KUTAFUTA PESA KWA NJIA ZA HALALI NA KWA JASHO LETU ,SIO KUTAKA PESA NYINGI KWA PUPAMATOKEO YAKE NI KAMA YALOMKUTA MDADA HUYU HUKO NCHINI MISRI..INASIKITISHA SANA.
 
KAKA ZETU ,DADA ZETU WANATEKETEA KWA AJILI YA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA HIVYO BASI TUSHINDANE ILI KUEPUKANA NA HILI.

No comments:

Post a Comment