Tuesday 4 June 2013

RATIBA KAMILI YA KUPOKEA NA KUUGA MWILI WA ALBERT MANGWEA

Wanakamati wa mazishi pamoja na wasanii akiwepo Profesa Jay, Lady Jaydee, Fid Q, Stamina, Juma Nature na wengine wengi wanaelekea uwanja wa ndege kutoka Viwanja vya Leaders tayari kuupokea mwili wa Albert Mangwea

  •  mwili utawasili mchana huu.
  • baada ya mwili kuwasili uwanja wa ndege , utapelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo utapokelewa na Kuhifadhiwa.
  • baada ya mwili kuhifadhiwa waombolezaji wataelekea viwanja vya leaders kwa ajili ya maombolezo.
  •  
  • kesho saa 2 asubuhi mwili utakuwa Viwanja vya Leaders kwa ajili ya ndugu , jamaa, na marafiki kutoa heshima zao za mika mwisho hadi mnamo saa6 mchana.
  •  
  • kesho hiyo hiyo sa 6 mchana mwili utasafirishwa kuelekea mkoani kwa  ajili ya taratibu za kuuhifadhi katika nyumba ya milele.
 
MAY HIS SOUL REST IN PEACE ALBERT MANGWEA.



No comments:

Post a Comment