Tuesday 4 June 2013

WATANZANIA WALIOKO SOUTH WAUAGA MWILI WA ALBERT MANGWEA


Watanzania waliopo Afrika Kusini wamefanikiwa vyema kutoa salam zao za mwisho kwa mpendwa wetu Albert Mangwea.

Mwili wa ngwea unatarajiwa kuingia tanzania mnamo saa 8 mchana kwa ajili ya kumpumzisha katika makazi yake ya milele.
 
JENEZA LILILOWEKWA MWILI WA ALBERT MANGWEA

WATANZANIA NA MARAFIKI WENGINE SOUTH AFRICA WAKIAGA MWILI WA ALBERT MANGWEA

KINJEKITILE AKIWA NA WATANZANIA WALIOHUDHURIA KTK KUMUAGA NGWEAR



KINJEKITILE NA WATANZANIA WENGINE WAKIBEBA JENEZA LA ALBERT MANGWEA





No comments:

Post a Comment