Wednesday 22 October 2014

DADA WA KAZI ATEKETEZA NYUMBA SABABU YA JIKO LA GESI

Huko maeneo ya kigamboni , nyumba yateketea kwa moto chanzo ni jiko la gesi.
mwenye nyumba hiyo ambaye jina halikupatikana mfanyakazi wa ECO BANK.
Anayesadikiwa kua Mwenye nyumba hiyo
chanzo cha moto huo inasemekana ni jiko la gesi ambapo mfanyakazi wa ndani aliweka maharage na kutoka nje ya nyumba huku akiacha jiko likiwa linafanya kazi bila uangalizi wa mtu yeyote.\
bahati nzuri ni kwamba watoto walikua shuleni na wazazi walikua kazini wkati tukio hilo linatokea.










Tuweni makini sana na wadada wa kazi ,ikiwezekana wapewe mafunzo ya jinsi ya kutumia vitu vya ndani especially majiko ya gesi, na uangalizi mzuri wa nyumba kwa jumla.
Wadada wa kazi na nyie muwe na huruma jamani maana hii ni hasara kubwa sna kwa mabosi zenu,kwanini hamtuliii khaa! ngachokaaa..

No comments:

Post a Comment