Monday 13 October 2014

MISS TANZANIA 2014 NI SHEEDA


MISS TANZANIA 2014, BIBIE SITTI MTEMVU.

MSHINDI PAMOJA NA MSHINDI WA PILI BIBIE LILIAN NA WATATU JIHAN.

Mshindi wa Taji la Miss Tanzania 2014 azua maneno meengi katika mitandao ya kijamii, ikihusishwa uchakachuaji umechukua nafasi kubwa sana ktk jopo la majaji waliofanya maamuzi.
kwani baadhi ya watu wanadai kuwa hakustahili kulitwaa taji hilo kutokana na muonekano.
lakini mwisho wa siku majaji ndio waamuzi wa yote na hatimaye Bibie Sitti Mtemvu akalitwa taji hilo wakati nafasi ya pili ikishikiliwa na Bibie Lilian kamazima na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Jihan Dimach..
hivyo tu yanii 

haya Bibie Siti Mtemvu ukatuwakilishe vyema Watanzania katika mashindano ya Dunia.

No comments:

Post a Comment