Thursday 16 October 2014

MISS TANZANIA UMRI WAMUUMBUA

moja ya profile ya mtandao wa kijamii.

Mshindi wa Kinyang'anyiro cha Redd's Miss Tanzania 2014 Miss, Sitting Mtemvu azua gumzo kwa jamii baada ya kusema anaumri wa miaka 18 na katika umri huu akiwa ametunukiwa shahada ya uzamili yani masters, amezua maswali mengi Sana kwa waTanzania na kuanza kufuata hatua ya kumjua rasmi kupitia mitandao ya kijamii na imeonyesha kua miaka mi3 nyuma alikua na miaka 25 je iweje sasa anamiaka 18?
Na Je Kama ana miaka 18 alianza shule akiwa na miaka mingapi ?
Kama s/msingi miaka 7
O-level miaka 4
A-level miaka 2
Degree ya kwanza 3
Degree ya pili miaka 2
JUMLA YAKE NI MIAKA 18.........
JE AMEHESABIA UMRI ALOINGIA DARASANI TUU AMA NINII..
WASWAHILI WANASEMA UKIWA MUONGO UWE NA KUMBUKUMBUUUU..
YA WALIMWENGU HAYA.



No comments:

Post a Comment