Sunday 7 December 2014

DAVIDO SNITCH.....ADHIHIRISHA CHUKI KUPITIA MTANDAO WA KIJAMII TWITTER

Baada ya ushindi wa Idriss katika jumba la BigBrother Hotshots 2014, msanii wa Nigeria Davido aonyesha live jinsi gani ameumia kwa ushind huo na kudhihirisha wazi kuptia page yake ya Twiter na kusema 
"N they cheat again ''
hii inamanisha kuwa zile Tuzo 3 toka CHOAMVA alizo shinda Diamond Platinumz kumbe huyu kaka ''mfupi nyundo'' imemuuma na kuamua kutoa duku duku lake.
lakini watanzania hawajabaki myuma kumuonesha kwamba hatujacheat gadem mbulula huyu mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu na hichi ndicho alichokisema.







Davido umetusikitisha saana watanzania yani hata ule upendo wa dhati tuliokua nao yani umeupoteza kabisa, no matter what because of your collabo or whatever but this is not a way , it really show us that u are jealous to Diamond Platinumz because of those 3 Awards from CHOAMVA, but you also got yours at BET but we supported you and we didnt say a word to yo Gaddem Mburula Mtu mfupi.....

Diamond akiona kumbe haya yatatokea na akasema "TATIZO NYOTAAAAAAAAAAAAA"" this word mean a lot MAZAFANTAZ



No comments:

Post a Comment