Friday 9 November 2012

WALTER CHILAMBO EBSS WINNER 2012 ..MIL50.


WALTER CHILAMBO WINNER EBSS 2012


HONGERA WALTER CHILAMBO KWA JITIHADA ZAKO AMBAZO WATANZANIA WAMEZIONA NA NDO MANA WAKAKUPIGIA KURA KWA WINGI NA KUWEZA KUJIPATIA KITITA HICHO CHA MILIONI 50,JAPOKUW MIMI BINAFSI KURA ZANGU ZILIENDA KWANSLMA ILA YOTE KHERI 
JITIHADA ZAKO ZISIISHIE HAPO TU ENDELEZA KIPAJI CHAKO NA UENDELEE KATIKA MZIKI UWE JUU ZAIDI YA WALIOPO SASA ..

MY GUITTTER GIRL U ARE A REAL STAR..


SALMA UNAKIPAJI CHA HALI YA JUU NA WADAU WAMWKIONA NA NNAUHAKIKA HADI HAPO ULIPOFIKIA THAMANI YAKO NI ZAIDI YA 50MILION HIVYO USIKATE TAMAA KWANI WE NI BADO BINTI MDOGO SANA NA UNA NAFASI NYINGINE KUONYESHA UWEZO WAKO .

HONGERA SANA NA SANA NA SANAA WALTER CHILAMBO..

WISH YOU ALL THE BEST KATIKA MAUMIZI YA PESA ZAKO.

NILIWAMISS WADAUZ.


NLIWAMISS SANA WADAU WANGU , I HOPE MUWAZIMA WA AFYA.
HAYA NIMERUDI TENA KWA VISHINDO..


Tuesday 11 September 2012

SOMA HII STORY NI YA KWELI

NIMEIKUTA HII SEHEMU NIKAONA NIICOPY INAWEZA KUWASAIDIA WAPENZI WA KITHURAAH BLOG WAWEZA MWAMBIA NA NDUGUYO: JUMAPILI ILIYOPITA MJOMBA WANGU ALIKUWA KWENYE DALADALA AKITOKEA UBUNGO KWENDA TEGETA. BASI LILIPOFIKA MWENGE ABIRIA WALIONGEZEKA NA WENGINE WAKAWA WAMESIMAMA,KATI YA WALIOSIMAMA ALIKUWAPO MZEE MMOJA ALIYEKUWA NA HAND BAG KAMA TUNAZOBEBEA LAPTOP HIVI. YULE MZEE ALIMUOMBA MJOMBA WANGU AMSAIDIE KUMSHIKIA BAG LAKE KWA KUWA YEYE ALIKOSA SITI, BILA YA KUSITA AKAAMUA MUMSAIDIA KALE KA BAG" BAADA YA VITUO VIWILI YULE JAMAA MWENYE KA BAG ALITEREMKA BILA MJOMBA WANGU KUMUONA NA YEYE HAKUWA NA WASIWASI KWA KUWA ALIJUA MWENYE MZIGO AKITAKA KUSHUKA ATAUCHUKUA TU MZIGO WAKE. KABLA GARI HAIJAFIKA KITUO CHA TATU ILISIMAMISHWA NA WATU WALIOJITAMBULISHA KWAMBA WAO NI ASKARI POLISI WAPELELEZI KWAMBA KUNA KITU WANAPELELEZA,WA KAWAAMURU ABIRIA WOTE WATEREMKE KWENYE GARI,WALIFANYA HIVYO MMOJA WA WALE POLISI, WALIMFUATA MJOMBA WANGU NA KUMUULIZA 'NA WEWE KWENYE BAG LAKO KUNA NINI? AKAWAJIBU BAGI SIYO LANGU KWA HIYO SIWEZI JUA NDANI KUNA NINI!! WAKAMUULIZA TENA, MWENYEWE YUKO WAPI TUONESHE" AKAANGALIA KATI YA WALE ABIRIA WENZAKE HAKUMUONA. WAKASEMA FUNGUA TUONE KUNA NINI NDANI, WALIPOFUNGUA WAKAKUTA KUNA SILAHA AINA YA PISTO.ALIPOJARIBU KUJITETEA WAKAMWAMBIA TWENDE KITUONI UTAENDA KUJIELEZA HUKO. BASI LIKARUHUSIWA NA YEYE WAKAMPELEKA POLISI, WAKIWA NJIA WAKAMWAMBIA KAMA ANATAKA WAMWACHIE ATOE LAKI NANE 800,000/= VINGINEVYO WATAMUUNGANISHA KATIKA KESI YA WIZI WA KUTUMIA SILAHA,AKAWAAMBIA SINA HIZO PESA NA SIWEZI KUTOA MPAKA SASA BADO YUPO NDANI. HII INATUKUMBUSHA KWAMBA NI KWELI TUNAPENDA KUWASAIDIA WATU ILA TUWE MAKINI NA MISAADA TUNAYOITOA. MZEE ALIKUWA NA NIA NJEMA KABISA YA KUTOA MSAADA ILA MSAADA UMEMGHARIMU MAISHA. Mwisho napenda kuwatahadharisha watu wote tuwe makini na watu tusiowajua,na wema usizidi uwezo.dunia imeharibika hamna wa kumuamini. Ahsante Flora Sinyora.

Sunday 9 September 2012

KUWA MAKlNl NA MlTANDAO YA KlJAMll

Don't Trust people in facebook ,Nimesoma jana kweny Blog ya BellaNaija nimeogopaa,nimeshndwa kuicopy its too long...Kifo cha mschana anaitwa Cynthia uko Nigeria,ana miaka24 post graduate holder na mfanya biashara mweny botiq yake mjin Jos...naskia alipata marafiki facebook kama wengi tunavyowapata,marafk wa kiume kwa wa kike, aliwaamini sana wakawa washkaji tu,sasa hao jamaa wanaishi Lagos ambako ndio anako nunulia mzgo wake wa biashara,basi wakapanga wakutane akija Lagos kununua mzgo,inavyosemekana walimkatia ticket ya ndege wakampokea airport wakamchukulia Hotel siku iyo iyo,Kilichofuata unaambiwa baada ya kufika Hotelin alifungwa kamba,aliibiwa kilakitu na walimuua apoapo wakakimbia,waliiba poch yenye vtambulisho vyote na simu kwaio ikawa ngumu kuwasiliana na ndugu na marafiki wa Cynthia..mwili ulichukuliwa ukapelekwa mochuary uku ndugu zake wakiendelea kuomba Mungu arudi salama...Lakn through media alipatikana na inavyosemekana na wauaji pia walikamatwa na ni wanafunz wa chuo kimoja apo Lagos,walikiri kumuua na kumuibia na uyo ni mtu wa 6 kumfanyia hvyo,To cut the story short,Tuna kubwa la kujifunza kweny hii kitu,be careful with the people u meet in fb,bbm or twitter...tunatakiwa kuzingatia usalama wetu zaidi kweny hii mitandao ya kijamii,ukiuliza watu wote waliooana umu facebook waulize kama siku ya kwanza ya kuonana kama walikua na usalama wowote,waliaminiana tu na wakakutana...tumshukuru Mungu aliewaunganisha pamoja,what if mmoja angekua na lengo lingne je?..hivi ndivyo tunavyokufa,tunavyotapeliwa na tunavyoibiwa na kubakwa kupitia hii mitandao ya jamii....Nigeria kuna mambo machaf mengi sana lakn this can happen to anyone anywhere...Let's keep it low kweny hiz social netwerks,Wezi na wauaji nao wanafikiria mbinu mpya kilasiku,yawezekana wakaicopy immediately hii ya waNigeria,...binafsi nimeguswa sana na hii story...Let's be careful jamani. Nmepata habar hii kwa rafk yangu REDDY MiKe kwa FB Jaman tuwe makin sana na hii mitandao ya kijamiii sababu tunakutana na watu tusiowajua hata hstoria zao na hata makazi yao.. Nawapenda sana wadau wangu Nawataka Jumatatu tulivu.

Sunday 2 September 2012

HAPPY BIRTHDAY TO ME


Thank you, God, for giving me another year of life.
Thank you for all the people who remembered me
today
by sending cards, and letters, gifts and good
wishes.
Thank you for all the experience of this past year;
for times of success which will always be happy
memories,
for times of failure which reminded me of my own
weakness and of my need for you,
for times of joy when the sun was shining,
for times of sadness which drove me to you.
Forgive me
for the hours I wasted,
for the chances I failed to take,
for the opportunities I missed this past year.
Help me in the days ahead to make this the best
year yet,
and through it to bring good credit to myself,
happiness and pride to my loved ones,
and joy to you.
Amen.

Happy Birthday to me
kithuraah wa kaumo

Friday 24 August 2012

TAMASHA LA FIESTA MOSHI IKISINDIKIZWA VYEMA NA BONGO MOVIE STARS

Clouds media bado ikiendelea na mchakato wa tamasha la fiesta 2012,leo hii wapo ndani ya Moshi wakisindikizwa na wasanii nyota wa bongo movie katika msafara mzima.tamasha hilo linatarajiwa kufanyika katika viwanja vya chuo ushirika jioni ya leo kwa kiingilio cha shilingi elfu 5 tu.haya wewe apo uliokuwepo moshi usikose tamasha hili na kuvinjari na wasanii mashuhuri wa bongo movie ,akiwemo wema sepetu,anty ezekiel,Jb, Ray, steve nyerere na wengineo wengiiii..
WEMA SEPETU NA ANTY EZEKIEL KTK POZI

HATMAN,STEVE NYERERE,BONGE SAMBAMBA KABISA NA MILLARD AYO

WEMA MWENYEWE

MILARD AYO AKIMUHOJI WEMA

BBM ZINAHUSIKA PIA,,HEHEHEEE
RAY AKIHOJIWA A MILARD AYO PEMBENI YUKO MR.JB NA HARTMAN.
GARI AINA YA VITS AMBAYO ITASHINDANIWA KWA KUCHEZESHWA DROO JIONI YA LEO HAPO VIWANJA VYA CHUO CHA USHIRIKA,MLIOKO MOSHI MSIKOTE UNAWEZA KUBAHATIKA.

Thursday 23 August 2012

COLOUR BLOCKING

COLOUR BLOCKING


HAYA MAMA NISIPITWE LOLS ,SIJAPITWA NA MIMI NKACHANGANYA MARANGI YANGU HAPO NA MWISHO WASIKU NKATOKELEZEA HIVO. NA WEWE JIPANGILIE NA UTUME PICHA YAKO KWA KUPITIA .
EMAIL: kithuraahtz@gmail.com

Wednesday 22 August 2012

COLOUR BLOCKING



celebrities hao,wametokelezea


wanaume pia wasipitwe na hii.
 Haya mafashionista wa bongo msipitwe na hii .kuchanganya rangi ndo mpango mzima kwa sasa.
wale tusiopitwa na fashion na hii isikupite crayz colours ndo zenyewe.

kithuraahTZ

Sunday 19 August 2012

EID MUBARAQ..

KITHURAAHTZ BLOG INAWAPA MKONO WA IDD NA KUWATAKIA IDD NJEMA MKIWA NA FURAHA PAMOJA NA FAMILIA ZENU..

EID MUBARAQ TO YOU ALL..

With LOVE

Kithuraah Wa Kaumo

Friday 17 August 2012

BALLET ,,BEAUTIFUL




kwa kweli naupenda sana huu mchezo hasa kuangalia wanavocheza cheza hizi mbwembwe lkn weeeh usije ukajaribu kama hauna mazoezi utavunja kila kitu chako ,shauri yako, hawa wanamazoezi ya kutosha hasa.

kithuraahTZ

Thursday 16 August 2012

SIMU ZA MKONONI NA MAHUSIANO

Habari za Ijumaa wapenzi wa kithuraah wa kaumo blog,i hope wote mko vyema na tukotunaendelea na kujenga taifa letu.

leo tuzungumze kuusu swala la simu za mkononi na mahusiano ya kimapenzi,jambo hili limeshazungumzwa sana na bado linazungumzwa lakini si vibaya tukilijadili hapa pia pamoja na tujue jinsi gani utaweza kabiliana na hili ili kunusuru mahusiano yako

hivi kwanini watu wengi sana wanamiliki simu zao na pia za wapenzi wao ?je hii ni sawa ?ni niniinasababisha wewe kua unapekua simu ya mpenzi wako ?
mana kunawengine wanapekua hasa kuanzia sms zilizoingia cku nzima,calls na mengineyo mengi je? inakusaidia nini katika mahusiano yako/yenu ?
na ukishajua kuwa liwasiliana na huyu na huyu je utakuwa na furaha au maumivu ?
Kwanini utafute ugomvi kwa mwenzio?
HII SIO SAHIHI KATIKA MAHUSIANO

HUYU KABEBA SIMU YA BF KAKUTA MAMBO HAYO PRESHA JUU


maana kiuhalisia zaidi ni kwamba kushika simu ya mpenzi wako na kuanza kusearch msg ,cjui calls cjui nini mwisho wa siku unapata maumivu ambayo usingegusa ile simu wala usingeweza yapata na hivyo kukupelekea kulivua pendo .

NINI UFANYE KUEPUKANA NA HILI

muamini mpenzi wako ,jiamini na we mwenyewe kama amekuchagua wewe na anakupenda,acha mambo ya kumpekua ,kumfatilia leo kafanya hivi mara hivi haitakusaidia kabisa katika mahusiano yenu. achana na simu yake ukiwa naye muoneshe mapenzi ya dhati na kama ni yule mtu wa kila dakika simu mfanye asahau simuyake ongeeni kuhusu mahusiano yenu ,future yenu itakuaje,na mengine mengi kuhusus mapenzi na sio bwana /bibi katoka kazini tu baada ya salam unampokea kwa kushika simu utajiumiza na utajikuta mnapigana na wengine kuuwana hasa sababu kitu kidogo snaa simu.
lakini kila mtu anapokuwa huru na simu yake hata kama kunakitu cha kukuumiza anakifanya anajihisi anahatia na ataacha believe me coz anajua kwanini nafanya hivi wakati mke/mme/mpenzi wangu ananipenda na ananionyesha mapenzi ya dhati .

hivyo tulia na mpenzi ,anayekupenda siku zote hatapenda kuona unaumia na hivyo hatakuwa mtu wa kukucheat.

ONYO; ACHA KABISA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO .

nakaribisha comments zenu wadau

JUMAA KAREEM

Kithuraah Wa Kaumo

HEHEHEHEE TUCHEKE WOTE


NIMEITOA KWA FACEBOOK


kithuraah wa kaumo

MBONI WA THE MBONI SHOW SHE REALLY INSPIRE ME.



NAAMINI KILA MTU ANAMTU AMBAYE ANAMPENDA EITHER KUTOKANA NA MATENDO YAKE MAZURI, LIFESTYLE, TABIA ZAKE,UCHESHI,UMARIDADI NA NK

MBONI MASIMBA WA THE MBONI SHOW SHE REALLY INSPIRED ME , WAPO NA WENGINE LKN NIMEONA SHE IS NO 1 TO MEE YANI ANANIKOSHA NA HANA MAJIGAMBO KAMA KINA WENGINE WANAOTAMBA MJINI KUTAFUTA UMAARUFU ..POPOTE ALIPO NNAIMANI ATAPATA UJUMBE HUU.

WISH HER ALL THE BEST IN HER WORKS ,ONE LOVE SIS .


kithuraah wa kaumo

Wednesday 15 August 2012

BEYONCE,ANGELINA JOLIE NA KIM KARDASHIAN NDANI YA HIJAB..

Ramadhan kareem

japo mfungo ndo unaishia na wao wakitusindikiza kwa vazi la hijaab..

BEYONCE KNOWLES

KIM KARDASHIAN

ANGELINA JOLIE

Nawe uvae jamani hata kwa huu mwezi tuu ,mweeh.
kithuraah wa kaumo

Saturday 11 August 2012

UMILIKI WA BLOG..

Hello wadau ,,! I hope mko wazima km mimi na wale tunaofunga tunaendelea na swaum na wale wasiofunga wanaendelea na mambo yako mengine,,
Haya sasa Tuongeeni hapa..
Ni kuhusu swala zima la umiliki wa blog ,,hivi kuwa na blog ni kujiongeleaa wewe binafsi au kuongelea kitu husika kinacho husu blog yako na mambo ya kijamii zaidi?,,wewe kama mdau unalionaje hili ni sahihi au sio sahihi..tupia comment zako ,,na as yu know ili twende sawa tunahitaji kushauriana nini cha kufanya ,.
Ahsanteni ..
kithuraah wa kaumo

Tuesday 31 July 2012

MAPISHI YA VIBIBI


 MAHITAJI

1.Mchele Vikombe 2 
2. Tui la nazi  Kikombe 1 na nusu
3. Mafuta kijiko 1 cha chakula
4. Hamira Vijiko vya chai   2
5. Unga wa ngano kijiko 1 cha chakula
6. Hiliki  kiasi upendavyo
7. Sukari  Kikombe 1
JINSI YA KUANDAA 

1·  Osha na roweka mchele usiku mzima ndani ya maji baridi.
2·  Mimina vifaa vyote isipokuwa sukari , ndani ya mashine ya kusagia (blender) na usage mpaka mchele uwe laini.
3·  Mimina ndani ya bakuli na ufinike , kisha weka pahali penye joto ili mchanganyiko ufure.
4·  Ukishafura , mimina sukari na changanya vizuri ; ukiona mchanganyiko ni mzito sana, ongeza maziwa kidogo.
5·  Weka chuma kipate moto.
  Paka mafuta au samli kidogo kwenye chuma kisha mimina mchanganyiko kiasi kuunda duara na ufunike.
  Utazame ikishaiva upande mmoja , geuza upande wa pili mpaka iwe tayari.
  Endelea Mpaka umalize mchanganyiko wote,panga kwenye sahani na tayari kuliwa.
VIBIBI KATIKA PICHA.
 ENJOY YOUR MEAL

PISHI LA KATLES

MAHITAJI

1. Viazi Ulaya  Nusu Kilo
2. Kitunguu swaum Kikubwa 1
3. Myama ya kusaga Robo 
4.Limao
5.Vitunguu Maji Vikubwa 3
6. PiliPili Manga 
7. PiliPili mbuzi
8. Mayai 2
9. Mafuta kiasi
10. chumvi.
11.unga wa ngano kikombe 1

JINSI YA KUANDAA

menya viazi vyako na uvioshe vizuri kwa maji safi
weka kwenye sufuria na uweke chumvi kiasi 
weka jikoni vichemke hadi viwe laini .
wakati viazi viko jikoni andaa nyama yako ya kusaga 
weka chumvi,ndimu,swaum,tangawizi,na pilipili manga,na km utapenda kuweka pilipili mbuzi 
katiakatia vitunguu maji  na uweke jikoni nyama nayo iwive.
viazi vikiwa tayari mwaga maji na uhakikishe hamna maji na uanze kuviponda hadi madonge yaishe.
nyama ikiwa tayari epua na uweke pembeni ipoe.
weka ndimu ktk viazi vilivyopondwa pamoja na pilipili manga kiasi changanya kwa pamoja.
tengeneza shape ya duara ukiweka kishimo kati kwa ajili ya kuweka nyama ya kusaga.
tengeneza madonge yako huku ukiweka nyama kati na kufunga kwa kutumia viazi vilivyopondwa.
baada ya kumaliza madonge yote .
andaa mayai kwenye kibakuli na uyachanganye alafu weka chumvi.
weka mafuta jikoni yachemke
then chukua donge moja moja zamisha kwa unga wa ngano (husaidia kutokuvurugika) halafu dumbukiza kwa mchanganyiko wako wa mayai na uweke kwenye mafuta.
kaanga hadi vibadilike rangi ,
katlesi zako ziko tayari kwa kuliwa..
na katlesi zako zitakuwa hivi katika picha.


ENJOY YOUR MEAL.

JIFUNZE MAPISHI MBALI MBALI YA FTARI KUPITIA HUMU

Wadau kwa huu mwezi mtukufu wa ramadhani tujifunze mapishi mbalimbali ya ftari kwa ajili ya mfungo .
ntakuwa naweka post za mapisi na recipies zake kupitia humu.
karibuuni sana.




Monday 30 July 2012

RAMADHAN KAREEM WADAU

Tukiwa tunaendelea vyema na mfungo wa m,wezi mtukufu wa ramadhani ikiwemo leo tunamalizia kumi la kwanza inshaalah ,
nawatakia mfungo mwema wa ramadhan tujitahidi kufanya ibada ktk mwezi huu ili Mmungu atusamehe madhambi yetu .
Ramadhan Kareem.

Thursday 14 June 2012

HAPPY FAMILLY


MR& MRS SMITH

WILL SMITH NA JADA PINKETT SMITH 
Will Smith ambaye alizaliwa September 25, 1968, ambaye alikuwa muigizaji wa kipindi cha The fresh Prince ,akiwa mchekeshaji mbali na fani hiyo alikuwa pia rapper maarufu sasna nchini marekani.

mnamo mwaka 1992 alimuoa Sheree Zampino walifanikiwa kupata mtoto mmoja Trey Smith ambaye ni
mcheza Basket maarufu nchini marekani. aliachana na Sheree mnamo mwaka 1995.
ambapo alioana na Jada Pinket mnamo mwaka 1997 na katika ndoa yao wamefanikiwa kupata watoto wawili ambao ni Jaden Smith na Willow Smith ambao nao wako mbio ktk fani walizorithi kwa wazazi wao.

Jaden Smith amezaliwa July 8, 1998 ni mcheza filamu mzuri tuu anayechipukia na filamu alocheza ni ''karate kid'' kama utaikumbuka mdau au kama hujaiona itafute ni sinema nzuri sana akiwa sambamba na Jackie Chan.
Willow Smith alizaliwa October 31, 2000 ,mwenye umri wa miaka 11 hadi mnamo mwezi wa 10/2012 anatimiza 12, ameonesha kipaji chake cha kuimba na  ni mwanamuziki anayechipukia ambae anakibao maarufu sana hata hap a nchini kwetu ''whip my hair'' na pia amewahi kushiriki ktk filamuinaitwa ''I Am Legend''
happy familly
soo lovely familly

willow and jaden smith

picha ya pamoja ktk uzinduzi wa filamu ya MIB3



Kiukweli familia hii naikubali sana aisee na ni mfano wa kuigwa huko marekani na hata hapa kwetu,nnaimani sometimes wanamabifu yao wanasolve thn maisha yanaendelea hadi watoto wanakua na kuendeleza vipaji vyao soo lovely mi naipenda sana hii familia ..
nawatakia maisha mema na marefu ..

xoxoooo

Sunday 10 June 2012

AMBER ROSE NDANI YA COMBAT ..

Mjeshi kamili
AMBER ROSE


HAVE A BLUE MONDAY WADAU WANGU MUWE HAPPY AS I AM ,
MUWE NA SMILE KM LA AMBER ROSE MUENDE KAZINI MPIGE KAZI TUJENGE TAIFA LETU ..

KISS KISS

KITHURAAH WA KAUMO



Friday 8 June 2012

DJ FETTY /DJ KWA FEE KUWASHA MOTO NDANI YA BIGBROTHER STARGAME WEEKEND HII.



 
 
Name: Fatma Hassan a.k.a Dj Fetty, Dj Kwa Fee
Occupation: DJ, Presenter and Producer (Clouds Fm)
Location : Dar es Salaam, Tanzania



Mwanadafada wa ukwee na anayejiamini miamia apata shavu la kwenda kuendesha party ya BigBrother StarGame wikiendi hii ndani ya mjengo ,mambo ya scraching CD blablaa sana tuu si unajua tena maujuzi ya uDj .
dont miss this party stay tuned kwa luninga yako..

AKIFANYA MAMBO YAKE 

 DJ FETTY KATIKA POZI
wish youu all the best mwanadafada wetu DJ FETTY toka clouds Fm.
piga mzigo mdada wasouth wapige salute.

Thursday 7 June 2012

Tuesday 5 June 2012

MJUE MARIAN RIVELA MUIGIZAJI KUTOKA UFILIPINO



Screen Name: Marian Rivera
Nickname: Yan-yan
Birthday: August 12,1984 Madrid, Spain

Showbiz Anniversary: January 1, 2005








Wengi wetu tunamfahamu mwanadada marian rivela kwa majina tofauti kutokana na filamu tulizowahi kuziona kupitia televisheni zetu hapa bongo.
ameigiza filamu nyingi sana hadi sasa miongoni mwao ni Mar Mar, Endless Love, Darna na nyinginezo nyingi,
kwa sasa anamahusianao na msanii mwenzake Dingdong Dantes ambaye mahusiano yao yalianza baada ya kukamilisha filamu ya Marimar ni yule aloact nae Cerio.
ni mwanamitindo maarufu sana nchini Philippines na pia ni director wa film .

hizi ni baadhi ya picha zake ktk pozi tofauti 
ktk filamu ya mar mar


akiwa na mpenzio Dingdong


lovely

 mi binafsi nampenda huyu dada i wish aje Tanzania na Akija  kwa kweli sitakosa unless otherwise iwe vingine coz ni mipango ya Mmungu .