Sunday 12 February 2012

HAHAHAAA NICKY AFANYA VITUKO GRAMMYS AWARDS ,,HAKUNA KAMA NICKY MINAJ ,,

Hhahahaaa acheni nicheke kwanza wadau wangu km cjashusha maun=mbea loh duniani kuna mambo mmh,,
kyk tuzi za Grammys zilizofanyika ucku wa kuamkia jana jumapili ,ambapo wanamuzi wengi maarufu duniani wanakutana hapo kila mtu akimsubiria mwenzio ataokaje au atakuja na stail gani kila,pamoja na washabiki pia wakisubiri nani atavuta macho ya watu ,,
hatimaye one n only nicky mwanamuziki mtata sana minaona Lady Gaga Haingii ndani kwa huyu mwananmke aliingia ukumbini kila mtu akishangaa akiwa haamini anachokiaona unajua aliingiaje em check this pictures and tupia comments zako chini yake
akiwa anaingia ukumbini na POP lols

The only Nicky

swaggs

hahahaha km muumini kweli los
WAKATI HUO HUO GAGA ALIKUWA HIVI
Lady in Black



Gaga na Kelly





WAKATI RIHHANA NAE ALIAMUA KUTANGAZA RASMI DRESS AMBAYO ALIDESIGN KUTOKA KTK HER OWN COMPANY
SWAGGS
ONLY GAL HUYOO
Disign nimependa hii dress yani iko poa presentable ,simple ,and gorgeous 






2 comments:

  1. nicky kiboko lol!

    ReplyDelete
    Replies
    1. SANA TUUU LOOH ,,ETI KAINGIA NA PAPA JMN WATU WANAZAMBI

      Delete