Wednesday 15 February 2012

HONGERA MAIMARTHA WA JESSE KWA KUTULETEA MCHUMBA,,

ktk tabasamu
wiki moja baada ya ndoa yake ,mtangazaji maarufu wa luninga na radio Maimartha wa Jesse ajifungua mtoto wa kiume kwa njia ya kawaida akiwa mzima wa afya..
Hongera sana na Mmungu bibie  akupe afya tele pamoja na mtoto wako ..

mai akiwa na baba mtoto


No comments:

Post a Comment