Sunday 30 November 2014

DIAMOND PLATINUMZ AIBUKA NA TUZO 3 TOKA CHOAMVA 2014












Kwa Mara nyingine tena Naseeb Abdul "Diamond Platinum" aiwakilisha vyema Tanzania name East Africa kwa ujumla kkwa kujizolea tuzo 3 ktk makundi tifauti aliyokua nominated katika CHOAMVA 2014 ambapo msanii Diamond alijizolea categories hizi
Most gifted new commer: Diamond
Most gifted Afro pop: Number one
Most gifted East ; Diamond Platinumz











Hongera sana Diamond kwa kutuwakilisha..kama ni nyota yako ni
 ya jaa..Mambo mengine tukuachie mwenyewe kama ni project tuache iendelee kwa kweli...

"Usijali mama,we wache waongee, usiku na mchana na mpaka wa nyongee, na ntakupenda sana,mahaba ni nyonge"
Aaah mwandaazimu kaingiajee

No comments:

Post a Comment